Monday, August 02, 2004

MPIRA TANZANIA UMESHUKA.

Mpira wa miguu katika nchi yetu umeshuka sana na bila jitihada za dhati basi tutakuwa wasindikizaji siku zote.Ni lazima jitihada za dhati zichukuliwe ili tuweze kufika mahala walipofika wenzetu.Bila kuacha ubabaishaji basi hatutafanikiwa hata siku moja.Tutabaki kuwa wasindikizaji siku zote.

No comments: