Thursday, September 27, 2007

SHULE YA MSINGI KIGUGU-2

Habari hii nimeitoa kwa ufupi lakini bado ninaitafutia muda ili niiandike kwa kirefu kwani ni habari ndefu kidogo ambayo ina mambo mengi sana yaliyotukia enzi hizo tukiwa shule ya msingi Kigugu kule Chazi Turiani Morogoro Vijijini enzi hizo siku hizi ni wilaya ya Mvomero.
Nitakuja na majina ya ajabu ya wanafunzi tuliosoma nao kama Veronika Mezanyoka,Augustino Mkeka,Rose Mdudu Chanzala ThomasSamboa Akisa,na jamaa aliyeibia wakati wa mtihani akaandika mpaka jina la yule aliyekuwa akiibia mtihani wake!

No comments: